Header Ads

PICHA 5: Anna Mghwira alivyoapishwa na JPM kuwa RC Kilimanjaro

MuroTV

Siasa

PICHA 5: Anna Mghwira alivyoapishwa na JPM kuwa RC Kilimanjaro

Leo June 6, 2017 Ikulu Dar es salaam, Rais Magufuli amemuapisha Anna Mghwira kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro. Mama Mghwira ni mwanachama wa ACT Wazalendo na alikuwa mgombea Urais wa chama hicho kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2015.
Mghwira ameapishwa leo na tayari amekabidhiwa ilani ya CCM. Nimekuwekea hapa chini picha za kuapishwa kwake.

MuroTV na murotv.blogspot.com zipo kwaajili ya kukuhabarisha kwa wakati.
Image may contain: text KWA MATANGAZO WASILIANA NAMI KUPITIA; 
Phone: 0768786851
Email:prospermuro690@gmail.com
          : prosperalphonce35@gmail.com
Instagram: muro_tv

No comments:

Powered by Blogger.