Header Ads

Baada ya uteuzi wa Anna Mghwira, ACT Wazalendo wametoa hii taarifa

MuroTV

Mix

Baada ya uteuzi wa Anna Mghwira, ACT Wazalendo wametoa hii taarifa

June 3, 2017 Rais Magufuli alimteua Mwenyekiti wa Taifa Chama cha ACT Wazalendo, Anna Elisha Mghwira kuwa Mkuu mpya wa Mkoa wa Kilimanjaro.
June 6, 2017 Katibu wa Itifaki na Uenezi na Mawasiliano ya Ummma wa ACT Wazaledo Ado Shaibu ametoa taarifa iliyosema kuwa Kamati ya uongozi ya chama hicho itakutana June 7, 2016 kutafakari namna ambavyo Anna Mghwira atatekeleza wajibu wake wa Uenyekiti wa chama na majukumu mapya.

MuroTV na murotv.blogspot.com zipo kwaajili ya kukuhabarisha kwa wakati.
Image may contain: text KWA MATANGAZO WASILIANA NAMI KUPITIA; 
Phone: 0768786851
Email:prospermuro690@gmail.com
          : prosperalphonce35@gmail.com
Instagram: muro_tv

No comments:

Powered by Blogger.