MAPOKEZI YA YANGA BAADA YA KURUDI NA KOMBE AIRPORT
Michezo
PICHA 6: Mapokezi ya Yanga Airport DSM baada ya kuwasili na Kombe la VPL

Yanga wametangazwa kuwa Mabingwa wa VPL baada ya kumaliza Ligi wakiwa na point 68 sawa na Simba lakini wametwaa taji hilo kwa tofauti ya magoli 10 dhidi ya Simba, taji hilo linakuwa ni taji lao la 27 la Ligi Kuu lakini pia linakuwa ni taji lao la tatu mfululizo la VPL, leo Yanga wamewasili Dar es Salaam wakitokea Mwanza.




No comments:
Post a Comment