HEKAHEKA: UKUTA ULIOJENGWA MBELE YA GETI LA JIRANI UMEKUWA GUMZO DSM
HekaHeka
HEKAHEKA: Ukuta uliojengwa mbele ya geti la jirani umekuwa gumzo DSM
Baada ya kujengwa ukuta huo palizuka gumzo baina ya majirani hao lakini ikidaiwa kuwa hawakuwa na ruhusa ya kulitumia eneo hilo kwa sababu ni eneo la wazi ‘open space’ licha ya mmoja kati yao kulitumia kama maegesho ya gari lake.

No comments:
Post a Comment