HEKAHEKA: Mama adaiwa kumchapa mwanae hadi kufa…kisa?
MuroTV
HekaHeka
HEKAHEKA: Mama adaiwa kumchapa mwanae hadi kufa…kisa?
Hekaheka hiyo imetokea Tabata Kinyerezi DSM ambako inasemekana mama huyo alishirikiana na shemeji yake kumpiga mtoto kisha kumfunga kamba ambapo alisaidiwa na mpita njia na aliporudi ndani kwa mara ya pili aliendelea kupigwa hadi kufariki.
KWA MATANGAZO WASILIANA NAMI KUPITIA;

No comments:
Post a Comment