Saida Karoli alivyotua na kupokelewa Mwanza
Mwimbaji
staa wa nyimbo za asili Saida Karoli amewasili Mwanza ambako atakuwa na
show ya Kanda ya Ziwa ambapo amepokelewa vizuri na mashabiki wake
waliomfuata Uwanja wa Ndege kwa msafara wa magari na bodaboda na
kumsindikiza hadi katikati ya jiji.
Saida anatarajiwa kupiga show katika Uwanja wa CCM Kirumba kabla ya kuzunguka katika mikoa mingine ya Kanda ya Ziwa.
No comments:
Post a Comment