Mwimbaji wa
Bongofleva Linah Sanga ‘Linah’ ambaye amekuwa mama baada ya
kujifungua mtoto wa kike siku kadhaa zilizopita katika hospitali ya
Marie Stopes…sasa leo August 4, 2017 ameitumia Instagram yake kuweka
picha na kuandika maneno yanayoashiria pongezi kwa mwanaume aliyezaa
naye.
Linah kupitia Instagram yake kayaandika haya maneno yaliyoambatana na picha ya baba wa mtoto wake>>>”Alienipa heshima ya kuitwa mama leo akiongozwa na Mungu i heart him so much #babydady #babaTRACEY #bestfriend #foreverhubby” – Linah
Hatimae Linah kaiweka hadharani picha ya baba mtoto wake
Reviewed by
Unknown
on
August 04, 2017
Rating:
5
No comments:
Post a Comment