Wafungwa zaidi ya 900 watoroka gerezani Congo DRC
MuroTV
KIMATAIFA
Wafungwa zaidi ya 900 watoroka gerezani Congo DRC
Katika tukio hilo watu hao walivamia na kuanza kurushiana risasi na askari waliokuwa wanalinda na wakati wakiendelea kurishiana risasi wafungwa hao walikimbia huku wafungwa wachache ndiyo wakibakia gerezani.
“Wafungwa kwenye gereza la Kangwayi lililopo Beni walivamiwa saa 9:30 mchana na watu ambao bado hawajajulikana,
“Kwa sasa kuna wafungwa 966 ambao wametoroka, na waliobaki ni gerezani ni 30 tu,” alisema gavana wa Kivu Kaskazini, Julien Paluku na kuongeza kuwa.
“Wakati tukio la kurushiana risasi kati ya watu wa usalama na washambuliaji, ilibainika kuwa kuna watu 11 wamefariki na kati yao nane ni maafisa wa usalama.”
FOLLOW NA LIKE PAGE YANGU YA FACEBOOK HAPA CHINI
CLICK HAPA ☛ OPEN
FOLLOW ACCOUNT YANGU YA INSTAGRAM
CLICK HAPA ➼ OPEN
MuroTV na murotv.blogspot.com zipo kwaajili ya kukuhabarisha kwa wakati.
KWA MATANGAZO WASILIANA NAMI KUPITIA;



No comments:
Post a Comment