Header Ads

Umeshawahi ku-HACKIWA Account yako? hiki ndo kinachotekeaga

MuroTV

Umeshawahi ku-HACKIWA Account yako? hiki ndo kinachotekeaga

Imeandikwa na Prosper Muro
 07 June, 2017
 
Shilole
Kama wewe ni mtumiaji wa mitandao ya kijamii utakuwa umekutana neno ‘Hack‘ ama kuibiwa account zamitandao ya kijamii kama ilivyomtokea mwanadada Shilole hivi karibuni kwani ameonekana akilalamika mitandaoni kuwa account yake ya Insstagram imehakiwa na mtu asie julikana.
  Mara nyingi watu maarufu wamekuwa wakilalamika account zao kuwa Hacked ama kuibiwa. MxCarter   ni mtaalamu wa maswala hayo na hapa ameeleza huwa inatokea vipi, chakufanya ili yasikukute na wewe.
>>>Kuna njia nyingi a ku-Hack hizi account na kwa hapa bongo wanatumia njia rahisi na mara nyingi huwa nawaelekeza hawa mastaa maana wao ndo account zao huwa zinafuatiliwa sana, hawa hackers wanaweza kukutumia email inayoonekana kama Instagram ndo wamekutumia na ukibonyeza tu ile link unakuwa umeshapatikana.
>>>Ukitumiwa email inatakiwa ujue email inasemaje kabla ya kufungua link..mtu kutoka Instagram hawezi kukuuliza Password yako pia tusipende kuweka password zinazohusiana na maisha yetu kama jina lako, mtoto wako, mahali ulipozaliwa n.k.kwasababu inakuwa rahisi mtu kukisia password yako- MxCarter
 MuroTV na murotv.blogspot.com zipo kwaajili ya kukuhabarisha kwa wakati.
Image may contain: text KWA MATANGAZO WASILIANA NAMI KUPITIA; 
Phone: 0768786851
Email:prospermuro690@gmail.com
          : prosperalphonce35@gmail.com
Instagram: muro_tv

No comments:

Powered by Blogger.