Soudy Brown kainasa ya Qboy kudaiwa kumpa mimba msichana na kuikataa
Mtangazaji Soudy Brown baada ya kuipa story hiyo alimpigia simu Qboy Msafi lakini hakupatikana hivyo kuamua kumpigia binti huyo na haya ndiyo aliyojibu:>>>“Sijui kabadilika vipi hataki hata kusikia, ananijibu kashfa. Nilimtishia nikamwambia kama vipi naenda Polisi akanijibu si uende..nikamtishia naenda Shilawadu akasema hadi huko.” – Media.
No comments:
Post a Comment