Je wajua noti zilianza kutumika rasmi mwaka 1905 Tanzania Bara? Ijue Historia ya Sarafu na Noti za Tanzania

Kwa muda mrefu fedha zilizotumika katika nchi hii zilikuwa ni sarafu. Noti za karatasi zilianza kutumika mwaka 1905 wakati wa utawala wa mjerumani kwa upande wa bara. Noti hizo zilitolewa katika thamani ya Rupie 5, 10, 50, 100 na rupie 500 kama ionekanavyo hapa chini. Noti za rupie 500 zilikuwa chache sana na sikufanikiwa kupata picha yake
Rupie 5
![[​IMG]](https://kichuguu.files.wordpress.com/2007/09/doa_5rupien.jpg)
Rupie 10
![[​IMG]](https://kichuguu.files.wordpress.com/2007/09/doa_10rupien.jpg)
Rupie 50
![[​IMG]](https://kichuguu.files.wordpress.com/2007/09/doa_50rupien.jpg)
Rupie 100
![[​IMG]](https://kichuguu.files.wordpress.com/2007/09/doa_100rupien.jpg)
Kwa upande wa zanzibar, mwaka huo huo wa 1905, noti za Rupee za kizanzibari zilitolewa katika thamani za Rupee 5, 10, 20, 50, 100 na rupee 500 pia. Kwa bahati mbaya sikuweza kupata picha zake zote, naonyesha mfano wa noti za rupee 5 tano tu niliyofanikiwa kupata.
5 Zanzibari rupee
![[​IMG]](https://kichuguu.files.wordpress.com/2007/09/zz10.jpg)
1 Rupie
![[​IMG]](https://kichuguu.files.wordpress.com/2007/09/doa_1rupiene_1.jpg)
5 Rupien
![[​IMG]](https://kichuguu.files.wordpress.com/2007/09/doa_5rupiene.jpg)
10 Rupien
![[​IMG]](https://kichuguu.files.wordpress.com/2007/09/doa_10rupiene.jpg)
20 Rupien
![[​IMG]](https://kichuguu.files.wordpress.com/2007/09/doa_20rupiene.jpg)
50 Rupien
![[​IMG]](https://kichuguu.files.wordpress.com/2007/09/doa_50rupiene.jpg)
Noti hizi za dharura zilikuwa hafifu sana na wakati mwingine zilikuwa zinafyatuliwa kwa muhuri tu kama hii hapa chini ya Rupie 1.
![[​IMG]](https://kichuguu.files.wordpress.com/2007/09/doa_1rupiene_3.jpg)
.....INAENDELEA​
No comments:
Post a Comment