SIKU 7 ZA WABONGO KUJENGA DARAJA LA TRENI KWENYE MAJI YAENDAYO KASI
MuroTv
Siku 7 za Wabongo kujenga Daraja la Treni kwenye maji yaendayo kasi

zinaye Mkurugenzi Mtendaji wa TRL Masanja Kadogosa amebainisha kuwa mafundi wamefanya kazi saa 24 na kufanikiwa kufungua njia hivyo wataanza kupitisha mizigo ili kujiridhisha kabla ya kupitisha abiria.
>>>“Daraja hili lilititia, mafundi wetu wamefanya kazi usiku kucha saa 24. Napenda kuwaambia watanzania kuwa leo tunafungua njia rasmi na tutaanza kupitisha mizigo mpaka mafundi wetu watakapojiridhisha kwa mambo ya kiufundi. Tutakapoona usalama umetosha tutapitisha abiria.” – Masanja Kadogosa.
No comments:
Post a Comment