Header Ads

WAHUSIKA MAKATABA YA MADINI WANYONGWE-WABUNGE

MuroTv

“Wahusika Mikataba ya Madini wanyongwe” – Wabunge

Moja ya story kubwa kutoka Bungeni Dodoma ni pamoja na hii ya Wabunge kuchangia mapendekezo yao katika Bajeti Wizara ya Nishati na Madini ambapo baadhi ya waliopata nafasi hiyo wametaka Serikali kupitia upya mikataba ya Madini ili kubaini makosa yaliyofanywa na wahusika kisha iwachukulie hatua za kisheria.

No comments:

Powered by Blogger.