Header Ads

Nandy baada ya kudaiwa kuwa mapenzini na MC Pilipili

MuroTV

Mix

Nandy baada ya kudaiwa kuwa mapenzini na MC Pilipili

 
Kutoka Bongoflevani leo June 9, 2017 ni hii story inayotrend kwa sasa ambayo inawahusisha mwimbaji staa wa Bongofleva Nandy na Mchekeshaji maarufu Bongo MC Pilipili wakidaiwa kuwa wapenzi kutokana na ukaribu wao.
Kupitia Leo Tena ya Clouds FM, Nandy amebainisha kuwa watu wamekuwa wakidhani kuwa ni wapenzi kwa sababu ya ukaribu wake na MC Pilipili ingawa amekiri kuwa na mpenzi ambaye amedai hayuko tayari kumuweka wazi.
>>>“Nipo kwenye mahusiano ndiyo lakini sijayaweka wazi kwa wazazi ila kwa upande wetu yapo wazi. Ni kweli nilikuwa mtu wa karibu sana na MC Pilipili lakini hatukuwahi kutoka kimapenzi. Tulikuwa na ukaribu tu wa kawaida.” – Nandy.
MuroTV na murotv.blogspot.com zipo kwaajili ya kukuhabarisha kwa wakati.
Image may contain: text KWA MATANGAZO WASILIANA NAMI KUPITIA; 
Phone: 0768786851
Email:prospermuro690@gmail.com
          : prosperalphonce35@gmail.com
Instagram: muro_tv

No comments:

Powered by Blogger.