Header Ads

Kauli ya RC Mghwira baada ya kuvuliwa uenyekiti ACT Wazalendo

MuroTV

Siasa

Kauli ya RC Mghwira baada ya kuvuliwa uenyekiti ACT Wazalendo

Baada ya kuripotiwa kuwa ACT Wazalendo wamemvua uenyekiti Anna Mghwira aliyekuwa akishikilia nafasi hiyo ikiwa ni baada ya kuteuliwa kuwa RC wa Kilimanjaro, Mghwira ameeleza kinachoendelea.
RC Mghwira amekanusha taarifa zilizoandikwa kwenye vyombo vya habari kuwa amepinga kuvuliwa nafasi ya uenyekiti kwenye chama cha ACT Wazalendo.
amesema alichozungumza ni kupinga utaratibu uliotumika, na vyama vya siasa ni sehemu ya utumishi wa umma na hawafanyi vyama kwa ajili yakujifurahisha.
MuroTV na murotv.blogspot.com zipo kwaajili ya kukuhabarisha kwa wakati.
Image may contain: text KWA MATANGAZO WASILIANA NAMI KUPITIA; 
Phone: 0768786851
Email:prospermuro690@gmail.com
          : prosperalphonce35@gmail.com
Instagram: muro_tv

No comments:

Powered by Blogger.