Header Ads

Mwimbaji Tekno amekuandikia maneno 60 ya Kiswahili kuhusu ngoma yake

MuroTV

Burudani

Mwimbaji Tekno amekuandikia maneno 60 ya Kiswahili kuhusu ngoma yake

Lugha ya Kiswahili inazidi kuzichukua headlines duniani kutokana na kutumiwa na mastaa wakubwa kila siku, leo nimeipata hii ya staa mwimbaji wa Nigeria, Tekno ambaye ameachia single yake mpya na ameamua kuitangaza kwa lugha ya Kiswahili kuwa inapatikana kwenye wasafi.com.
Tekno ameandika >>>”Wanasema Utamu wa Ngoma uingie Ucheze….Haya watoto wazuri na wanangu wote wa Bongo Land ardhi ya Nyerere, twendeni tukaonje Huu Utamu Wa Pini yangu mpya ya kuitwa #SAMANTHA ila sio Mbwana”<<<…..
“Ngoma iko Ndani Ya @wasafidotcom Kwa Mtonyo Wa Tsh 300 tu, Alafu Uje Unambie Umeionaje….Naskia eti Ngoma za Tekno hazijawai kumuacha mtu Salama…..Haya twendeni tukaliamshe Dudeeeee!!! – Tekno
Unaweza kuidownload au kuiskiliza single yake mpya ‘Samantha’ kupitia HAPA
MuroTV na murotv.blogspot.com zipo kwaajili ya kukuhabarisha kwa wakati.
Image may contain: text KWA MATANGAZO WASILIANA NAMI KUPITIA; 
Phone: 0768786851
Email:prospermuro690@gmail.com
          : prosperalphonce35@gmail.com
Instagram: muro_tv



No comments:

Powered by Blogger.