Header Ads

Imetajwa Top 10 ya Vyuo Vikuu bora duniani, Afrika ipo?

Duniani

Imetajwa Top 10 ya Vyuo Vikuu bora duniani, Afrika ipo?

Mtu wangu najua nawe utakuwa miongoni mwa watu wengi ambao inapotajwa list ya Vyuo Vikuu bora Duniani hujua moja kwa moja Chuo Kikuu cha Harvard kilichopo Marekani ndio bora duniani kwa kuwa kimetoa watu mashuhuri katika fani za Siasa, Sayansi, Tiba na Teknolojia.
June 9, 2017 zimetoka ripoti za Vyuo Vikuu bora Duniani kwa mujibu wa QS World University Ranking mwaka 2017 ambapo list inaongozwa na Massachusetts Institute of Technology.
Kwa mujibu wa list hiyo Marekani imekuwa kinara kwa kuwa na Vyuo Vikuu bora zaidi ikiwa na Vyuo Vikuu 5 kati ya 10 ambapo ubora wa Chuo hupimwa kutokana na kiwango cha elimu kinachotoa, vitabu bora vilivyochapiswa na maoni ya wasomi na waajiri duniani.


MuroTV na murotv.blogspot.com zipo kwaajili ya kukuhabarisha kwa wakati.
Image may contain: text KWA MATANGAZO WASILIANA NAMI KUPITIA; 
Phone: 0768786851
Email:prospermuro690@gmail.com
          : prosperalphonce35@gmail.com
Instagram: muro_tv

No comments:

Powered by Blogger.