Header Ads

Mbunge wa Chalinze akabidhi msaada wa vitanda vya kujifungulia

MuroTV

MATUKIO

Mbunge wa Chalinze akabidhi msaada wa vitanda vya kujifungulia


Mbunge wa Chalinze Mh. Ridhiwan Kikwete akabidhi Msaada wa vitanda vya kujifungulia (5), vitanda vya wodini (20), Magodoro 20 na mashuka 50 kwa Halmashauri ya Chalinze ambavyo vitagawiwa katika vituo vya Afya 5 vilivyo katika Tarafa 5  za Halmashauri ya Chalinze .
 
Vifaa hivi ni sehemu ya Utekelezaji wa Ahadi za Mheshimiwa Raisi wetu  na Ilani ya CCM   -2015  kwa Wananchi wa Halmashauri ya Chalinze.
 

No comments:

Powered by Blogger.