Header Ads

VIFO 15 VILIVYOTOKEA UWANJANI KATIKA HISRTORIA YA MPIRA WA MIGUU-DUNIANI



Muro TV Na Mwandishi wetu Mr Muro
Vifo vilivyotokea uwanjani katia Historia ya mpira wa miguu duniani
1. EMANUEL ORTEGA
Mchezaji wa Argenina
Alifariki kwa maumivu ya kichwa baada ya kupamiwa na mchezaji wa timu pinzani na kujigonga katika ukingo (Ukuta) wa kiwanja cha mpiara.
Alizaliwa 1988.09.02 Alikufa 2015.05.14
http://assets1.sportsnet.ca/wp-content/uploads/2015/05/Ortega_Emanuel-1040x572.jpg
2. ENDURANCE IDAHOR
Mchezaji wa Nigeria
Alifariki akiwa njiania akipelekwa Hospitali baada ya kuzidiwa na kuanguka chini wakati wa mechi
Alizaliwa 1984.08.04 Alikufa 2010.03.06
http://e.i.uol.com.br/esporte/futebol/2010/03/07/o-atacante-nigeriano-endurance-idahor-morreu-durante-partida-do-campeonato-sudanes-1267972041145_956x500.jpg
3. HOCINE GACEMI
Mchezaji wa Algeria
Gacemi alifanikiwa kufunga goli kwa kichwa lakini alijigonga na beki wa timu pinzani (Yacine Slatni) akapoteza fahamu na baadae kufariki dunia.
Alizaliwa 1974 Alifariki 2000.03.21
http://94.23.216.96/datavip/medias/0511/kabylie-vip-blog-com-278701Gacemi_21chrmai.jpg
4. AKLI FAIRUZ
Mchezaji wa Indoneshia
Alifariki kwa kuumwa sikukadhaa baada ya kuumia kwa kugongana na golikipa wa timu pinzani wakati akishambulia kufunga goli na mwishowe alifanikiwa kufunga lakini aliumia kwa kugongana na golikipa.
Alizaliwa 1987.05.08 Alifariki 2014.05.16
 http://media.infospesial.net/image/p/2014/05/video-striker-persiraja-akli-fairuz-meninggal-terkena-tendangan-kiper-psap-f591.jpg
5. PIERMARIO MOROSINI
Mchezaji wa Italia
Alifariki baada ya Moyo kufeli (Moyo kushindwa kusukuma damu sehemu mbali mbali za mwili) wakati wa mechi
Alizaliwa 1986.07.05 Alifariki 2012.04.14
https://static.guim.co.uk/sys-images/Sport/Pix/pictures/2012/4/16/1334569847204/Piermario-Morosini-008.jpghttp://qn.quotidiano.net/cronaca/2012/04/16/698230/images/1198715-morte-morosini.JPG
6. SERHIY PERKHUN
Mchezaji wa Ukraini
Alifariki muda mfupi baada ya kugongana vichwa na mchezajia wa timu pinzani Budun Budunow ambae pia alifariki siku tisa (9)  baadae baada ya kupata majeraha kwenye ubongo.
Alizaliwa 1977.09.04 Alifariki 2001.08.28
https://footballsfallen.files.wordpress.com/2014/08/serhiy-perkhun.jpghttps://i.ytimg.com/vi/yUTuvHRTPl4/maxresdefault.jpg
7. MARK VIVIEN FOE
Mchwzaji wa Cameroon
Alifariki baada ya kupata mshtuko wa moyo wakati aicheza uwanjani
Alizaliwa 1975.05.01 Alifariki 2003.06.26
http://cdn.foreverwestham.com/wp-content/uploads/2013/10/Marc-Vivien-Foe.jpg
 https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjrKLbpdE-wD3SGNCYOTPrJmT3lwCvvz47uZZYjaLYtGKZNMV1964lEm_8kMiFdLeGlJU2WYHUsfmQWt6qw8rr5Ver7IswEdOY8fWW7tr-jxaaKbZ1Lrh8BthgYvnyc0Dl-3TE7r4xZClEn/s1600/marc+vivien+foe.jpg
8. CHRISTIANO JUNIOUR
Mchezaji wa Brazil
Alifariki baada ya kugongana na golikipa dakika ya 78 ya mechi
Alizaliwa 1979.06.05 Alifariki 2004.12.05
http://im.rediff.com/sports/2014/oct/21death6.jpg
9. HRVOJE CUSTIC
Mchezaji wa Croatia
Alifariki siku 5 baadae kwa madhara ya kichwa aliyoyapata baada ya kugongana na mchezaji wa timu pinzania   
Alizaliwa 1983.10.21 Alifariki 2008.04.03
http://www.index.hr/images2/HrvojeCusticZadarSportInmemoriam22V.jpghttp://www.jutarnji.hr/migration_catalog/custic/3686826/ALTERNATES/LANDSCAPE_1180/Custic
10. PETER BIAKSANGZUALA
Alifariki kwa matatizo ya uti wa mgongo aliyoyapata alipokuwa akijaribu kuruka somersault wakati akishangilia baada ya kufunga goli
 http://www.wishesh.com/media/k2/items/src/4f5cd4fcf5d77d45ef1c59e5721886d2.jpghttp://www.businessinsider.in/thumb/msid-51795713,width-640,resizemode-4/bfgrfd/Peter-Biaksangzuala.jpg?146404
11. PHIL O"DONNELL
Mchezaji wa Scottish
Alifariki baada ya kupata tatizo la moyo kufeli wakati akishangilia baada ya kufunga goli
Alizaliwa 1972.03.25 Alifariki 2007.12.29
http://motherwellfc.co.uk/wp-content/uploads/PODDesktopI291214.jpg
12. ANTONIO PUETRA
Mchezaji wa Hispania
Alifariki siku ya tatu (3) baadae kwa matatizo ya moyo  na uti wa mgongo baada ya upande wa kulia kufeli kutokana na matatizo ya uti wa mgongo wakicheza na Getafe ligi ya Laliga
Alizaliwa 1984.11.26 Alifariki 2007.08.28
 https://www.bellazon.com/main/uploads/monthly_09_2013/post-37737-0-10351500-1378768921.jpg
13. CHINONSO IHELWERE HENRY
Mchezaji wa Nigeria
Alifariki kwa tatizo la Moyo kufeli akiwa uwanjani
Alizaliwa 1991.08.07 Alifariki 2007.10.04
http://www.exclusivnews.ro/wp-content/uploads/2012/08/Chinonso-Ihelwere-Henry.jpg
14. PAULO SERGIO OLIVEIRA DA SILVA
Mchezaji wa Brazil
Alifariki dakika ya 60 ya mechi baada ya kupata mshtuko wa moyo
Alizaliwa 1974.10.19 Alifariki 2004.10.27
http://media.indiatimes.in/media/content/2015/Aug/paulo-s%c3%a9rgio-oliveira-da-silva_1440422245.jpg
15. MIKLOS FEHER
Mchezaji wa Hungari
Alifariki baada ya kupata mshtuko wa moyo akiwa kwenye mechi dhidi ya Victoria de Guimardes akichezea Benfica
Alizaliwa 1979.07.20 Alifariki 2004.02.25
https://s-media-cache-ak0.pinimg.com/564x/92/e5/d7/92e5d770780bd21edfec297e7d164221.jpg 
http://media.gettyimages.com/photos/portugal-benfica-player-sokota-and-guimaraes-cleber-help-benficas-picture-id2901789 ---Endelea kukaa karibu na Muro TV kwa mengi zaidi----

No comments:

Powered by Blogger.