Maneno ya Madee, Dogo Janja baada ya BASATA kusema hakuna tuzo za KTMA

Madee aliandika kwenye account yake ya Twitter akisema: >>>“Muziki wetu umepata kilema, hauna tuzo hauna album halafu kuna watu wanasema wanataka kuufikisha mbele, hahaha kwa njia gani labda” – Madee.
Baada ya tweet ya Madee naye Dogo Janja aliandika kwenye Instagram >>>”Tunataka mashindano yakimataifa bila kua na shindano la kitaifa hahaha tutapigwa nyingi daily” – Dogo Janja.

No comments:
Post a Comment