Header Ads

Kwenye U-HEARD leo ni ishu ya Wakazi na Godzilla kurushiana maneno…kisa?

MuroTV

Burudani

Kwenye U-HEARD leo ni ishu ya Wakazi na Godzilla kurushiana maneno…kisa?

June 6, 2017 kupitia U-heard ya XXL ya Clouds FM mtangazaji Soudy Brown ametusogezea karibu hii ambayo inawahusu mastaa wa Hip Hop Bongo Wakazi na Godzilla ambao wanadaiwa kurushiana maneno kwenye kurasa za Twitter.
Chanzo kinadaiwa ni Wakazi kuhusisha issue ya Godzilla kwamba ana stress zinazotokana na muziki wa Bill Nass hivyo Soudy Brown alipiga story na Godzilla na Wakazi ili kupata ukweli:>>>“Yeye alikuwa ana attack kazi zangu direct halafu anajifanya kuwa hataki mazoea wakati juzi tulipoingia Open Mic Thursday niliiingia na akina Nikki Mbishi na washikaji wengine lakini yeye kakimbia. Asianze kuongea sana kama yeye ndio anajua kila kitu.” – Wakazi.
“Mimi ni Superstar kwa hiyo inatokea naweza nikawepo, dakika mbili nisiwepo yaani sionekani mara kwa mara. Nahisi wao ndio wanazo stress lakini siyo mimi.” – GodZilla.
MuroTV na murotv.blogspot.com zipo kwaajili ya kukuhabarisha kwa wakati.
Image may contain: text KWA MATANGAZO WASILIANA NAMI KUPITIA; 
Phone: 0768786851
Email:prospermuro690@gmail.com
          : prosperalphonce35@gmail.com
Instagram: muro_tv

No comments:

Powered by Blogger.