Kanisa lafanya Ibada maalum kumshukuru Mungu Chelsea kutwaa EPL
MuroTV
Mix
Kanisa lafanya Ibada maalum kumshukuru Mungu Chelsea kutwaa EPL
Mchungaji wa Kanisa hilo ambaye ni shabiki mkubwa wa Chelsea aliwahamasisha waumuni wake kuvalia jezi za timu hiyo katika Ibada hiyo ambapo iliandaliwa keki maalum huku waumini wakiimba wimbo wa timu “Blue is the Colour”.
Mbali na hilo waumini wengine ambao sio mashabiki wa Chelsea waliruhusiwa kuvaa jezi za timu zao ambapo Mchungaji Mkuu ambaye ni shabiki wa Arsenal alialikwa kushiriki kwenye Ibada akiwaambia waumini lengo ni kutumia nguvu za soka kuzungumzia kuhusu Mungu.





MuroTV na murotv.blogspot.com zipo kwaajili ya kukuhabarisha kwa wakati.
KWA MATANGAZO WASILIANA NAMI KUPITIA;

No comments:
Post a Comment