KITU RAIS MAGUFULI AMEMWAMBIA MKUU MPYA WA POLISI SIMON SIRRO LEO
Mix
Kitu Rais Magufuli amemwambia Mkuu mpya wa Polisi Simon Sirro leo
Kwenye kikao hicho kilichohudhuriwa na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mwigulu Nchemba na Katibu Mkuu wa wizara ya mambo ya ndani ya nchi Meja Jenerali Mstaafu Projest Rwegasira, President JPM amemwambia Mkuu mpya wa jeshi la Polisi Simon Sirro asiangalie sura ya mtu.
Namnukuu akisema >>> ‘IGP fanya marekebisho ya Jeshi lako lote, usiangalie sura ya mtu wala nani yuko karibu na nani, fanya kwa ajili ya Jeshi la Polisi lirudishe nidhamu ya zamani, nawapenda sana Askari na nataka niwaambie ukweli, wale wachache wanawachafua mno‘

No comments:
Post a Comment