Header Ads

Everton kumsajili Pickford

MuroTV

Michezo

Everton kumsajili Pickford

13 Juni 2017
 Kipa wa Sunderland Jordan Pickford
Kipa wa Sunderland Jordan Pickford
Klabu ya soka ya Everton imefikia makubaliano ya kumsajili kipa Jordan Pickford kutoka klabu ya Sunderland kwa dau pauni milioni 30.
Pickford, kwa sasa yuko kwenye kikosi cha England cha chini ya miaka 21 anatarajiwa kufanyiwa vipimo vya afya baada ya kutoka kwenye majukumu ya timu ya taifa.
Usajili wa kipa huyo mwenye umri wa miak 23 ukikamili utakuwa wa gharama Zaidi kwa kipa wa England kusajiliwa kwa dau hilo
Pickford alijunga na kituo cha michezo cha paka weusi wa Sunderland mwaka 2010 na alicheza mchezo wake wa kwanza dhidi ya Arsenal katika michuano ya kombe la fa
FOLLOW NA LIKE PAGE YANGU YA FACEBOOK HAPA CHINI
 CLICK HAPA OPEN
FOLLOW ACCOUNT YANGU YA INSTAGRAM 
CLICK HAPA ➼ OPEN

MuroTV na murotv.blogspot.com zipo kwaajili ya kukuhabarisha kwa wakati.
Image may contain: text       KWA MATANGAZO WASILIANA NAMI KUPITIA;

Phone: 0768786851
Email:prospermuro690@gmail.com
          : prosperalphonce35@gmail.com
Instagram: muro_tv

No comments:

Powered by Blogger.