Header Ads

RC Gambo afanya mazungumzo na balozi wa Ufaransa kuboresha utalii mkoani Arusha

MuroTV

ARUSHA 

RC Gambo afanya mazungumzo na balozi wa Ufaransa kuboresha utalii mkoani Arusha

 
Mkuu wa mkoa wa Arusha Mhe Mrisho Gambo akiwa Ufaransa, amefanya mazungumzo na Balozi wa Tanzania nchini Ufaransa Mhe Samwel W Shelukindo. Ufaransa ni moja ya zinazoleta watalii wengi nchini Tanzania. Pamoja na mambo mwingine wamejadiliana Yafuatayo:-
1. Mambo ya Msingi ya kufanya ili kuongeza watalii kutoka Ufaransa kuja Arusha 
2. Kupata wawekezaji kutoka Ufaransa kuja Arusha (Fursa za uwekezaji zilizopo Mkoani Arusha )
3. Kuanzisha tukio la kimataifa la kutangaza utalii mkoani Arusha kila mwaka
Mkuu wa mkoa wa Arusha Mhe Mrisho Gambo yupo katika ziara ya mafunzo nchini Ufaransa pamoja na mafunzo hayo amekua akiutangaza mkoa wa Arusha kama kitovu cha utalii nchini Tanzania.
FOLLOW NA LIKE PAGE YANGU YA FACEBOOK HAPA CHINI
 CLICK HAPA OPEN
FOLLOW ACCOUNT YANGU YA INSTAGRAM 
CLICK HAPA ➼ OPEN

MuroTV na murotv.blogspot.com zipo kwaajili ya kukuhabarisha kwa wakati.
Image may contain: text       KWA MATANGAZO WASILIANA NAMI KUPITIA;

Phone: 0768786851
Email:prospermuro690@gmail.com
          : prosperalphonce35@gmail.com
Instagram: muro_tv
 

No comments:

Powered by Blogger.