Header Ads

Thailand:Kombe la EFL kuitwa Carabao Cup

MuroTV

 Michezo

Thailand:Kombe la EFL kuitwa Carabao Cup

Carabao ni Kampuni inayotengenezwa kinywaji kinachoongeza nguvu  Carabao ni Kampuni inayotengenezwa kinywaji kinachoongeza nguvu

Michunao ya kombe la ELF cup ya nchini England kwa sasa itajulika kama Carabao Cup kutokana na kupata udhamini mpya wa kampuni ya Carabao ya nchini Thailand
Kampuni hiyo inayotengeneza Kinywaji cha kuongeza nguvu mwilini imesaini mkataba wa miaka mitatu wa kudhamini michuno hiyo.
Ratiba ya kupanga droo ya mechi za raundi ya kwanza ya zamichuano hiyo itafanyika ijumaa hii huko Bangkok, Thailand.
Michezo ya kwanza itafanyika kati ya Agosti 8 na 9 nc mchezo wa fainali utapigwa katika dimba la Wembley Februari 25, 2018.
Klabu ya Manchester United ndio bingwa mtetezi wa michuano hiyo
FOLLOW NA LIKE PAGE YANGU YA FACEBOOK HAPA CHINI
 CLICK HAPA OPEN
FOLLOW ACCOUNT YANGU YA INSTAGRAM 
CLICK HAPA ➼ OPEN

MuroTV na murotv.blogspot.com zipo kwaajili ya kukuhabarisha kwa wakati.
Image may contain: text       KWA MATANGAZO WASILIANA NAMI KUPITIA;

Phone: 0768786851
Email:prospermuro690@gmail.com
          : prosperalphonce35@gmail.com
Instagram: muro_tv

No comments:

Powered by Blogger.