BREAKING: Basi limetumbukia darajani na kuua watatu mkoani Manyara+AUDIO
MuroTV
Mix
BREAKING: Basi limetumbukia darajani na kuua watatu mkoani Manyara + AUDIO
Ripoti
iliyonifikia muda huu kutoka mkoani Manyara inaeleza kuwa watu watatu
wamefariki dunia na wengine 27 kujeruhiwa baada ya basi la Harmandos
kukatika Steering Road na kutumbukia darajani, huko Haydom Mbulu.
MuroTV na murotv.blogspot.com zimempata mkuu wa wilaya ya Mbulu, Chelestino Mofuga ambaye amethibitisha kutokea kwa tukio hilo.
MSIKILIZE MKUU WA WILIYA YA MBULU HAPA CHINI
MuroTV na murotv.blogspot.com zipo kwaajili ya kukuhabarisha kwa wakati.
KWA MATANGAZO WASILIANA NAMI KUPITIA;
Phone: 0768786851
Email:prospermuro690@gmail.com
: prosperalphonce35@gmail.com
Instagram: muro_tv
MSIKILIZE MKUU WA WILIYA YA MBULU HAPA CHINI
MuroTV na murotv.blogspot.com zipo kwaajili ya kukuhabarisha kwa wakati.
KWA MATANGAZO WASILIANA NAMI KUPITIA;
Phone: 0768786851
Email:prospermuro690@gmail.com
: prosperalphonce35@gmail.com
Instagram: muro_tv


No comments:
Post a Comment