Header Ads

Aishi Manula amehama Azam FC leo

 MuroTV

Michezo

 Aishi Manula amehama Azam FC leo

Baada ya tetesi za muda mrefu kuhusiana na golikipa wa timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars anayeichezea club ya Azam FC Aishi Manula kuhusishwa kuwa muda wowote anaweza ihama club hiyo na kwenda kujiunga na Simba huku Singida United ikitajwa kumuwania pia.
Leo June 11 2017 taarifa kutoka katika mtandao wa habari za michezo Tanzania Shaffihdauda.co.tz umetangaza kuwa golikipa Aishi Manula amejiunga na club ya Simba kwa mkataba wa miaka miwili kwa ada ya usajili ya Tsh milioni 50.


MuroTV na murotv.blogspot.com zipo kwaajili ya kukuhabarisha kwa wakati.
Image may contain: text  KWA MATANGAZO WASILIANA NAMI KUPITIA; 

Phone: 0768786851
Email:prospermuro690@gmail.com
          : prosperalphonce35@gmail.com
Instagram: muro_tv

No comments:

Powered by Blogger.