Aishi Manula amehama Azam FC leo
MuroTV
Michezo
Aishi Manula amehama Azam FC leo
Leo June 11 2017 taarifa kutoka katika mtandao wa habari za michezo Tanzania Shaffihdauda.co.tz umetangaza kuwa golikipa Aishi Manula amejiunga na club ya Simba kwa mkataba wa miaka miwili kwa ada ya usajili ya Tsh milioni 50.

MuroTV na murotv.blogspot.com zipo kwaajili ya kukuhabarisha kwa wakati.
KWA MATANGAZO WASILIANA NAMI KUPITIA;

No comments:
Post a Comment