RAIA WAKUMBWA NA HATARI KUBWA MOSUL, IRAQ.
MuroTv
Dira ya Dunia
Raia wakumbwa na hatari kubwa Mosul, Iraq
Huku
vita kati ya serikali ya Iraq na wapiganaji wa Islamic state
vikiendelea kushika kasi mjini Mosul, raia waliokwama katika mji huo
watakabiliwa na majanga makubwa, kwa mujibu wa Umoja wa Mataifa.- Majeshi ya Iraq yasonga mbele Mosul
![]() |
| Raia wanaojaribu kutoroka wanauwawa na Islamic state. |
Kumeibuka ripoti kwamba walenga shabaha wa Islamic state wamekuwa wakiwauwa watoto kimakusudi.
Wanajeshi
wanasema kuwa wamepiga hatua kwa saa chache wanapojaribu kuwatimua
wanamgambo hao kutoka ngome zao za mwisho katika mji wa zamani wa Mosul.
- Marekani kuanzisha uchunguzi kwa mashambulizi ya Mosul
Maelf ya raia wameukimbia mji huo wa kaskazini tangu jitihada za kuukomboa zianze mwezi Oktoba mwaka uliopita.



No comments:
Post a Comment