Header Ads

MAMBO YA KUFAHAMU KUHUSU SSK, HISTORIA NA WASANII WAKE

Burudani

Mambo ya kufahamu kuhusu SSK, historia na wasanii wake 

SiSi Sio Kundi ‘SSK’ ni Kundi la muziki linaloundwa na Wakazi, Zaiid, P The MC na Producer Cjamoker ambapo leo hii wameeleza jinsi walivyokutana mpaka kufanya kazi kwa pamoja.
Wakali wawili kutokea kundi hilo Wakazi na P the MC wamefunguka kuhusu kundi hilo wakisema wao ni zaidi ya kundi ambapo tayari wameshatengeneza album na kusisitiza hawatovunjika na ikitokea hivyo itakuwa tayari wameshafikia malengo.
>>>“Tofauti kubwa ya kwanza ni; OMG walianza kama Kundi lakini SSK tulianza tukiwa tayari tuna brand zetu. Kwa hiyo tukaungana kutengeneza hili. Wanasema umoja ni nguvu ndio maana tukaweza kuanzisha kundi.” – P the MC.

No comments:

Powered by Blogger.