Mchezaji huyo wa Barcelona ametwaa tuzo kama mfungaji bora wa Europa na kupewa kiatu cha dhahabu msimu huu wa mwaka 2016/2017
Tuzo hiyo imemfanya Messi kufikia rekodi ya mchezaji wa Real Madrid- Christian Ronaldo kwa kutwaa tuzo hiyo mara nne. (Tazama picha).
No comments:
Post a Comment