....’Ka Diamond kenyewe basi’ Dongo lingine kwa Alikiba
Katika post hiyo ambayo ina maneno yasiyopungua 16 Diamond amewalenga watu wanaoonesha chuki dhidi yake na wanaomsema vibaya vibaya kuhusu ingawa anachukulia kama changamoto.
Diamond ameandika>>>”Ka diamondi kenyewe basi, kadogodogooo tokea Tandale… sema kanavyo washuhurisha watu na Midevu yao… Hadi raha….. #ZILIPENDWA” – Diamond.
No comments:
Post a Comment