Header Ads

BREAKING NEWS

#BREAKING: Wanafunzi wengine watatu wamepoteza maisha leo Geita

 

 Muro Tv Nimeipata hii taarifa kutoka mkoani Geita ikieleza kumetokea ajali ya Mtumbwi ambao ulibeba wanafunzi wa shule ya Ludegea ambapo wanafunzi watatu wamepoteza maisha baada ya kuzama na wengine 21 wamenusurika.
Imeelezwa kuwa wanafunzi hao walikuwa njiani kuelekea shuleni wakati ajali ya kuzama mtumbwi huo ilipotokea.
Muro Tv inafatilia kilia kitu kuhusu ajali hii na tutakufahamisha zaidi.

No comments:

Powered by Blogger.