Mchana wa September 7 2017 mwansheria Mkuu wa
CHADEMA na Mbunge wa
Singida Mashariki
Tundu Lissu ameripotiwa kushambuliwa kwa risasi na watu wasiojulikana akiwa nyumbani kwake
Area D Dodoma alipokwenda kupata chakula cha mchana.
Tundu Lissu baada ya kupigwa risasi amekimbizwa katika hospitali ya Mkoa
Dodoma na kupatiwa matibabu, mwenyekiti wa
CHADEMA na kiongozi wa kambi ya upinzania Bungeni
Freeman Mbowe ameeleza tukio lilivyotokea.

Tundu Lissu
“Wakati Mh Tundu Anthipas Lissu
anarejea nyumbani kwake Area D Dodoma akitokea Bungeni alishambuliwa kwa
risasi na gari iliyokuwa inafuata gari yake nyuma walitoa Bunduki na
kuanza kummiminia risasi”>>> Mbowe
No comments:
Post a Comment