Staa wa Rock Star
Alikiba ambaye anafanya vizuri kwenye game ya Bongofleva husani na video yake mpya ya
‘Seduce Me’ kwa kuweka rekodi ya kufikisha zaidi ya views milioni mbili
YouTube ndani ya siku tatu, anazidi kupokea pongezi kutoka kwa watu mbalimbali.

Alikiba
Alikiba ambaye video ya wimbo wake wa
‘Seduce Me’ inafanya vizuri kwa sasa amepata pongezi kutoka kwa mfanyabiashara na bilionea wa 20 Afrika kwa mujibu wa mtandao wa
www.forbes.com Mohamed Dewji kupitia ukurasa wake wa instagram.
MO Dewji amecomment katika post ya
Alikiba
ya kushukuru mashabiki na watu mbalimbali ambao wamesapoti video yake
kufikisha views milioni mbili ndani ya siku tatu katika mtandao wa
YouTube.
No comments:
Post a Comment