Header Ads

PICHA 11: NYUMBA ALIYONUNUA RAIS MSTAAFU OBAMA

Mix

PICHA 11: Nyumba aliyonunua Rais mstaafu Obama

Rais wa Marekani aliyemaliza muda wake Barack Obama ameamua  kuendelea kuishi Washington DC na familia yake hadi binti yake mdogo aitwae Sasha (15) atapomaliza masomo yake.
Nyumba hii yenye vyumba tisa ipo katika mtaa wa kifahari wa Kalorama Washington DC Marekani na imeripotiwa walikua wakiishi humo kwa siku nyingi kama Wapangaji lakini sasa wameamua kuinunua.
Taarifa ya BBC inasema Msemaji wa Obama amenukuliwa akisema Famili ya Obama itaendelea kuwepo Washington DC kwa kama miaka miwili na nusu hivyo hii nyumba ina umuhimu kwao.




SIKILIZA NYIMBO MPYA YA KING DAVY-KWA MUDA
 

No comments:

Powered by Blogger.