Header Ads

BREAKING: Ripoti ya pili ya mchanga wa madini kutua kwa JPM Jumatatu

MuroTV

Mix

BREAKING: Ripoti ya pili ya mchanga wa madini kutua kwa JPM Jumatatu

Siku chache tangu akabidhiwe ripoti ya mchanga wa madini, Rais Magufuli atapokea taarifa ya kamati ya pili ya wachumi na wanasheria iliyofanya uchunguzi madini yaliyo kwenye makontena yenye mchanga wa madini Jumatatu June 12, 2017 Ikulu Dar es Salaam.





MuroTV na murotv.blogspot.com zipo kwaajili ya kukuhabarisha kwa wakati.
Image may contain: text KWA MATANGAZO WASILIANA NAMI KUPITIA; 
Phone: 0768786851
Email:prospermuro690@gmail.com
          : prosperalphonce35@gmail.com
Instagram: muro_tv

No comments:

Powered by Blogger.