Header Ads

BREAKING: MAAMUZI YA WABUNGE WA UPINZANI BAADA YA MNYIKA KUTOLEWA BUNGENI

MuroTv

BREAKING: Maamuzi ya Wabunge wa Upinzani baada ya Mnyika kutolewa Bungeni

Taarifa nilizozipokea mchana wa leo June 2, 2017 ni kutoka Bungeni Dodoma, ni taarifa ya ambayo inawahusu Wabunge wa Upinzani kuamua kutoka nje ya Bunge kupinga kitendo cha Spika Job Ndugai kumtoa Mbunge wa Kibamba John Mnyika.
Powered by Blogger.