Al Shabab wavamia Kambi ya jeshi la Kenya Kolbiyow
MuroTv
Duniani
Al Shabab wavamia Kambi ya jeshi la Kenya Kolbiyow
Hii si mara ya kwanza al shabab wanavamia kambi za jeshi la Kenya
Ripoti kutoka kusini mwa somali zinazema kambi ya wanajeshi wa Kenya imevamiwa viungani mwa mji wa Kulbiyow nchini Somalia.
Milipuko kadhaa iliripotiwa kusikika kutoka eneo hilo.Inaarifiwa kuwa vikosi vya Kenya vimejibu vikali uvamizi huo.
- Al-Shabab wavamia kambi ya majeshi ya Kenya
- Jeshi la Kenya lawaua wanamgambo 31 wa al-Shabab

Phone: 0768786851
Email:prospermuro690@gmail.com
: prosperalphonce35@gmail.com
Instagram: muro_tv
No comments:
Post a Comment