Ireland kupata waziri mkuu wa kwanza mpenzi wa jinsia moja
MuroTv
Duniani
Leo Varadkar akiwapungia mkono wafuasi
Atachukua mahala pa Enda Kenny kama kiongozi wa chama cha kati kulia wiki chache zinazokuja.

KWA MATANGAZO WASILIANA NAMI KUPITIA;
Phone: 0768786851
Email:prospermuro690@gmail.com
: prosperalphonce35@gmail.com
Instagram: muro_tv
Duniani
Ireland kupata waziri mkuu wa kwanza mpenzi wa jinsia moja
Leo Varadkar anatarajiwa kuwa waziri mkuu nchini Ireland baada ya kushinda uongozi kwa chama cha Fine Gael.
Varadkar
mwenye umri wa miaka 38, atakuwa waziri mkuu wa kwanza mpenzi wa jinsia
moja na pia waziri mkuu mwenye umri mdogo zaidi kuwaia kuongoza nchi
hiyo.- Watu 141 wakamatwa sherehe ya wapenzi wa jinsia moja Indonesia
- Mwanamitindo mwenye jinsia mbili

Leo Varadkar akiwapungia mkono wafuasi
Atachukua mahala pa Enda Kenny kama kiongozi wa chama cha kati kulia wiki chache zinazokuja.
- Wapenzi 3 wa jinsia moja watakiwa kuripoti polisi Tanzania
- Wapenzi wa Kichina wachumbiana michezoni Rio de Janeiro

KWA MATANGAZO WASILIANA NAMI KUPITIA;
Phone: 0768786851
Email:prospermuro690@gmail.com
: prosperalphonce35@gmail.com
Instagram: muro_tv
No comments:
Post a Comment