MAREKANI YAIONYA CHINA KUHUSU VISIWA BANDIA BAHARINI
MuroTv
Duniani
Marekani yaionya China kuhusu visiwa bandia baharini
Marekanai
hautakubali China kuweka wanajeshi kwenye visiwa ilivyojenga Kusini mwa
bahari ya China, waziri wa ulinzi wa Merekani James Mattis ameonya.
Akiongea
katika mkutano wa kiusalama huko Singapore, Bwana Mattis amesema kwamba
hatua ya Uchina ya kutengeneza visiwa bandia na kuongeza uwepo wake wa
kijeshi katika bahari ya kimataifa unahatarisha amani katika eneo hilo.- China yakamata chombo cha Marekani baharini
- China yaionya Marekani kuhusu visiwa vinavyozozaniwa

Matamshi hayo yanatolewa muda mfupi baada ya baraza la ulinzi la Umoja wa Mataifa kuongeza vikwazo dhidi ya Korea Kaskazini kufuatia majaribio kadha ya makombora mwaka huu.
- Ndege za China zazuia ndege ya Marekani

KWA MATANGAZO WASILIANA NAMI KUPITIA;
Phone: 0768786851
Email:prospermuro690@gmail.com
: prosperalphonce35@gmail.com
Instagram: muro_tv
No comments:
Post a Comment