PICHA 8: MWAKYEMBE AWAPOKEA SERENGETI BOYS LEO
Michezo
PICHA 8: Waziri Mwakyembe amewapokea Serengeti Boys leo
on


Serengeti Boys wamewasili Tanzania leo baada ya kutolewa na Niger kwa sheria ya head to head sheria ambayo imetumika baada ya kufungana kwa magoli ya kushinda na kufunga kwa timu hizo, hivyo head to head imeitoa Tanzania.

Leo May 24 Serengeti Boys wamewasili Tanzania na kupokelewa na waziri wa habari, sanaa, utamaduni na Michezo Dk Harrison Mwakyembe.






No comments:
Post a Comment