Header Ads

NAPE AMEMWANDIKIA JPM BAADA YA KUPOKEA RIPOTI YA MCHANGA

Mix

Nape amemwandikia JPM baada ya kupokea ripoti ya mchanga

Baada ya Kamati Maalum iliyoundwa na Rais Magufuli kumkabidhi ripoti ya uchunguzi wa mchanga wa madini uliokuwa kwenye makontena 277 yaliyozuiwa kusafirishwa kwenda nje, Mbunge wa Mtama Nape Nnauye amempongeza JPM kwa maamuzi yake.
Nape ameandika kwenye twitter yake >>> Hili la Mchanga…! Big Up!<<< – Nape Nnauye.

No comments:

Powered by Blogger.