Header Ads

MREMBO LULU DIVA AFUNGUKA HAYA KUHUSU NANDY NA VANESSA


Staa Lulu Diva kutoka Bongoflevani amekaa na kuelezea mapokezi makubwa ambayo hakuyategemea.
Mbali na kuelezea tour yake hiyo Lulu Diva amezungumzia pia uwezo wa baadhi ya waimbaji wa kike wa Bongofleva akiwataja Vanessa Mdee, Nandy na Maua Sama akisema wanafanya vizuri na wana uwezo lakini hawahofii.

”Kati ya Nandy na Vanessa hakuna ninayemuhofia kukaa nafasi yangu. Sijui Watanzania wenyewe ndio wanaofahamu ukweli kabisa. Nandy anafanya vizuri kwa nafasi yake na Vanessa anafanya vizuri kwa nafasi yake, hata Lulu Diva anafanya vizuri kwa nafasi yake. Maua atabaki kuwa Maua hata kama atajitokeza mtu na kujifanya kama Maua Sama.” – Lulu Diva.

No comments:

Powered by Blogger.