MGOMO WA MAWAKILI MWANZA NUSU KWA NUSU
Hali ya sintofahamu imeendelea miongoni mwa Mawakili katika Mkoa wa Mwanza ambao pia ni Wanachama wa Chama hicho ambapo kumekuwa na mgawanyiko huku baadhi wakiunga mkono na kususia shughuli za Mahakama lakini wengine wakionesha kupinga hatua hiyo na kuendelea na shughuli za Mahakama kama kawaida kwa sababu mbalimbali.
No comments:
Post a Comment