List Kamili ya Wachezaji wa Taifa Stars, Kelvin Yondani aitwa

Kocha mkuu wa timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars Salum Mayanga leo Jumamosi ya August 26 2017 ametangaza kikosi cha timu ya taifa ya Tanzania kitakachojiandaa na mchezo wa kimataifa wa kirafiki uliyopo katika kalenda ya FIFA dhidi ya Botswana September 2 Dar es Salaam.
![]() |
| Kelvin Yondani |
List ya wachezaji 21 waliyoitwa Taifa Stars


No comments:
Post a Comment