Header Ads

Walichozungumza Samatta na Ulimwengu kabla ya game ya Lesotho

MuroTV

Walichozungumza Samatta na Ulimwengu kabla ya game ya Lesotho

Kesho Jumamosi ya June 10 2017 timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars itaanza kuwania nafasi ya kucheza fainali za mataifa ya Afrika kwa mwaka 2019 nchini Cameroon dhidi ya timu ya taifa ya Lesotho katika uwanja wa Azam Complex Mbande Chamazi.
Taifa Stars ipo Kundi L lenye timu za Uganda, Cape Verde na Lesotho  katika harakati za kuwania kufuzu kucheza michuano hiyo ambapo katika historia Tanzania iliwahia kushiriki mara moja tu miaka ya 80, kuelekea mchezo huo tumempata nahodha wa Taifa Stars Mbwana Samatta na Thomas Ulimwengu.
“Nafikiri timu imejiandaa vizuri nimejiunga nayo kwa siku tatu lakini naona wachezaji wana morali nzuri na wapo na hali nzuri, mechi ya kesho nategemea itakuwa ngumu lakini timu imejiandaa vizuri ni hatua ya makundi tutajitahidi kushinda mchezo kwa idadi kubwa ya magoli” >>> Samatta
MuroTV na murotv.blogspot.com zipo kwaajili ya kukuhabarisha kwa wakati.
Image may contain: text KWA MATANGAZO WASILIANA NAMI KUPITIA; 
Phone: 0768786851
Email:prospermuro690@gmail.com
          : prosperalphonce35@gmail.com
Instagram: muro_tv

No comments:

Powered by Blogger.