PICHA 10: Mastaa Eto’o, Xavi na Puyol walivyohudhuria harusi ya staa wa zamani wa Barcelona
MuroTV
Michezo
PICHA 10: Mastaa Eto’o, Xavi na Puyol walivyohudhuria harusi ya staa wa zamani wa Barcelona

Harusi ya Victor Valdes na mpenzi wake wa muda mrefu Yolanda Cardona ilihudhuriwa na mastaa mbalimbali aliwahi kucheza nao soka kama Samuel Eto’o, Keita, Xavi, Eric Abidal, Carles Puyol na golipa namba mbili wake akicheza Barcelona Pinto.

Carls Puyol na mpenzi wake Vanessa Lorenzo


Kushoto ni Abidal na Keita

Kwa mbali mke wa Eto’o na Samuel Eto’o mwenyewe pamoja na Keita

Aliyekuwa golikipa namba 2 wa Barcelona Pinto wakati Valdes akicheza Barcelona.

Puyol na Seydou Keita


Xavi Hernandez na mkewe

No comments:
Post a Comment