Maamuzi ya mwisho ya Man United kuhusu Zlatan Ibrahimovic
MuroTV
Michezo
Maamuzi ya mwisho ya Man United kuhusu Zlatan Ibrahimovic
Zlatan alikuwa anatajwa kwa kiasi kikubwa kuwa mkataba wake uliyokuwa unamalizika mwisho wa msimu huu na Man United, angeongezewa wa mwaka mmoja zaidi lakini kuumia kwake kumeifanya Man United kutangaza maamuzi ya kuachana nae.

Ibrahimovic aliumia goti mwezi April wakati wa mchezo wa Europa League na baada ya kufanyiwa uchunguzi iliripotiwa kuwa atakuwa nje ya uwanja hadi mwaka 2018, hivyo kumalizika kwa mkataba wake kumeifanya Man United kuamua kuachana nae jumla.
MuroTV na murotv.blogspot.com zipo kwaajili ya kukuhabarisha kwa wakati.
KWA MATANGAZO WASILIANA NAMI KUPITIA;

No comments:
Post a Comment