Header Ads

Maamuzi ya mwisho ya Man United kuhusu Zlatan Ibrahimovic

 MuroTV

Michezo

Maamuzi ya mwisho ya Man United kuhusu Zlatan Ibrahimovic

Club ya Man United ya England msimu uliyopita ilimsajili staa wa soka wa kimataifa wa Sweden Zlatan Ibrahimovic kama mchezaji huru kwa mkataba wa mwaka mmoja baada ya staa huyo kumaliza mkataba na club ya Paris Saint Germain ya Ufaransa.
Zlatan alikuwa anatajwa kwa kiasi kikubwa kuwa mkataba wake uliyokuwa unamalizika mwisho wa msimu huu na Man United, angeongezewa wa mwaka mmoja zaidi lakini kuumia kwake kumeifanya Man United kutangaza maamuzi ya kuachana nae.

Ibrahimovic aliumia goti mwezi April wakati wa mchezo wa Europa League na baada ya kufanyiwa uchunguzi iliripotiwa kuwa atakuwa nje ya uwanja hadi mwaka 2018, hivyo kumalizika kwa mkataba wake kumeifanya Man United kuamua kuachana nae jumla.
MuroTV na murotv.blogspot.com zipo kwaajili ya kukuhabarisha kwa wakati.
Image may contain: text KWA MATANGAZO WASILIANA NAMI KUPITIA; 
Phone: 0768786851
Email:prospermuro690@gmail.com
          : prosperalphonce35@gmail.com
Instagram: muro_tv

No comments:

Powered by Blogger.