Header Ads

Nikki wa Pili kuhusu kauli ya JPM ‘Hakuna mwenye mimba atakayerudi shuleni’

  Siku moja baada ya Rais JPM kusema katika utawala wake hakutakuwa na mwanafunzi mwenye mimba atakayerudi shule baada ya kujifungua, kauli hiyo imepokelewa kwa hisia tofauti na watu mbalimbali mmoja wao akiwa staa wa Bongofleva Nikki wa Pili.
Nikki wa Pili aliandika kwenye Twitter yake:>>>”Ukimpa mwanfunz mimba jela miaka 30 mama anafukuzwa shule baba yuko jela mtoto huyu nae itakuwa ngumu pia kuepuka mimba ya utotoni #mzunguko, Mimba ndio njia yetu ya kuja duniani na mwanamke ndio shujaa wetu daima nampa nyota begani.” – Nikki wa Pili.

No comments:

Powered by Blogger.