Nikki wa Pili kuhusu kauli ya JPM ‘Hakuna mwenye mimba atakayerudi shuleni’
Nikki wa Pili aliandika kwenye Twitter yake:>>>”Ukimpa mwanfunz mimba jela miaka 30 mama anafukuzwa shule baba yuko jela mtoto huyu nae itakuwa ngumu pia kuepuka mimba ya utotoni #mzunguko, Mimba ndio njia yetu ya kuja duniani na mwanamke ndio shujaa wetu daima nampa nyota begani.” – Nikki wa Pili.
No comments:
Post a Comment